PRIME Makada wa CCM katika vita ya kutaka uenyekiti Mbio za uchaguzi wa wenyeviti wa CCM katika mikoa mitatu ya Mbeya, Arusha na Mwanza, zimezidi kushika kasi huku vigogo wakitajwa kuchuana katika kinyang’anyiro hicho.
Vita ya vigogo CCM hapatoshi Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM inakutana jana kuchuja majina ya wagombea wa nafasi za uongozi mkoa, ambao baadhi yao watakuwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa.
Waandishi MCL wang’ara EJAT Waandishi wanane wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) inayochapisha magazeti ya Mwananchi, The Citizen, Mwanaspoti na mitandao yake ya kijamii, wametajwa kuingia kwenye kinyang’anyiro...
Mmoja afariki kwa kuangukiwa na kifusi machimboni Mwanamke mmoja amekufa na mwingine kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na kifusi wakati wakichimba dhahabu
Auawa kwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili Nyamhanga Gibagiri(48)mkazi wa kijiji cha Rwamchanga wilaya ya Serengeti ameuawa kwa kukatwa shingo na kutenganisha na kiwiliwili
Mmoja afa, wawili wajeruhiwa kwa kuangukiwa na kifusi mgodini Mtu mmoja amekufa na wawili kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na kifusi cha mchanga wakati wakichimba dhahabu katika mgodi mdogo kijiji cha Merenga Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.
Mahakama Serengeti yaeleza ugumu kuendesha kesi za ukatili Wakati Serikali ikiweka mikakati ya kudhibiti vitendo vya ukatili wa kijinsia, mahakama Serengeti imekiri kuwa vita hiyo ni ngumu kwa kuwa wengi wa waathirika na wazazi hawafiki kutoa ushahidi na...
Tanesco waikatia Muguwasa umeme, wananchi wahaha kutafuta maji Wakazi wa Mugumu wilayani Serengeti wamelazimika kutafuta maji kwenye visima na mashimo kutokana Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kukata umeme kwenye chanzo cha maji cha Mamlaka ya Maji na...
Bibi anayemnyonyesha mjukuu wake baada ya mwanawe kufariki “Ni jambo linalonistaajabisha hata mimi kuona maziwa yanatoka na ninaweza kumnyonyesha mjukuu wangu baada ya mama yake kufariki dunia siku moja tu baada ya kujifungua,”
Tatizo la maji Mji wa Mugumu kupata ufumbuzi Wizara ya Maji imetoa Sh500milioni kutatua tatizo la mgao wa maji katika mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti.